stephanomango.blogspot.com

Pages - Menu

▼

Saturday, July 9, 2011

Mkuu wa Gereza la Mahabusu Songea ASP.Dr.Shija wapili kulia waliokaa akiwa kwenye picha ya pamoja na Viongozi waandamizi wa Gereza hilo na Askari waliopandishwa vyeo kwa ufanyaji kazi mzuri na kwa bidii

Stephano Mango at 12:51 AM No comments:
Share

Mkuu wa Gereza la Mahabusu Songea ASP.DR Shija akimvisha cheo cha Sajenti kwa Niaba ya Kamishina Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini Askari Denis Mango kwenye halfa iliyofanyika kwenye viwanja vya Magereza mjini hapa ambapo Askari 9 walipandishwa vyeo kwa kufanya kazi kwa bidii na maarifa

Stephano Mango at 12:41 AM No comments:
Share
‹
›
Home
View web version

About Me

My photo
Stephano Mango
Box 835,Songea Baruapepe;stephano12mango@yahoo.com Simu;0755-335051 au 0715-335051 au 0784-335051
View my complete profile
Powered by Blogger.