Pages - Menu

Monday, July 16, 2012

SANGA ONE AGOMBEA UWENYEKITI WA CCM HALMASHAURI YA MANISPAA YA SONGEA NA UWENYEKITI WA CHAMA CHA MPIRA WA MIGUU MKOA WA RUVUMA (FARU)

Diwani Mstaafu wa Kata ya Bombambili na Mwenyekiti  Mstaafu wa Chama cha Mpira wa miguu Halmashauri ya Manispaa ya Songea (Songea Mjini)SUFA Gorden Sanga (Sanga One) akizungumza jambo wakati wa ufungaji wa mashindano ya Sanga One Cup, kulia ni aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Michael Kamuhanda ambaye kwa sasa ni Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa

SANGA ONE ni mdau mkubwa wa michezo mkoa wa Ruvuma na Mwanasiasa mwenye hekima, busara na ueledi mkubwa

MTANDAO HUU, www.stephanomango.blogspot.com, utaendelea kuwajulisha kila kinachoendelea kuhusu kampeni husika

Uchaguzi unaweza kufanyika mwezi wa 9, 2012 wa chama cha mpira wa miguu mkoa wa Ruvuma( FARU)

Uchaguzi Ccm fomu zinatolewa mwezi wa 8 tarehe 2,2012