Pages - Menu

Monday, June 17, 2013

TGNP WAKABIDHI VIFAA SAUTI YA JAMII SONGEA


 
Afisa Habari na Mawasiliano wa Mtandao wa Jinsia Tanzani(TGNP) Lilian Kitunga akimkabidhi Vifaa vya mawasiliano Kompyuta, Printer, Moderm na muda wa wa Shilingi 500,000/= Mwenyekiti wa Kituo cha Sauti ya Jamii, cha Taarifa na Maarifa Songea Fatuma Missango
Mama Siwajibu Gama akisisitiza jambo kwenye kikao cha  Wanachama wa   Sauti ya Jamii, Kituo cha Taarifa na Maarifa Songea
Wa kwanza kushoto ni Mwandishi wa Habari wa IPP MEDIA, Nathan Mtega akiwa na Wanaharakati mbalimbali kwenye Ofisi za Sauti ya Jamii, Kituo cha Taarifa na Maarifa, juzi
  
Kutoka kushoto ni Wanaharakati Dada, na Mama Karimu wakisikiliza kwa makini makabidhiano ya Vifaa kutoka TGNP