Pages - Menu

Friday, September 23, 2011

MADIWANI WAENDELEA KUPIGA KURA HUKU UTULIVU UKIWA WA KUTOSHA AMBAKO HAKI NA WAJIBU WA MPIGAJI KURA UKIENDELEA

 Mgombea Umeya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea ambaye ni Diwani wa Kata ya Matogoro akitoka kupiga kura katika uchaguzi huo
 Diwani wa Kata ya Mateka Maricelino Mapunda akitumia vyema haki yake ya kumchagua Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

 Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Dkt Emmanuel John Nchimbi ambaye pia ni Waziri wa Habari,Utamaduni na Michezo akipiga kura wakati wa zoezi hilo la upigaji kura
Madiwani wakitafakari wakati wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi huo wakihesabu kura

No comments:

Post a Comment