Pages - Menu

Monday, September 12, 2011

MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA NA UFANYAJI KAZI ZENYE UCHUMI MDORORO

Akina mama ambao majina yao hayakuweza kufahamika mara moja wakiwa wamebeba miwa kwa ajiri ya kwenda kuiuza ili kuweza kujipatia kipato cha kujikimu kutokana na ugumu wa maisha unaowakabili katika jamii zao na taifa kiujumla,wananchi wengi wanaoishi pembezoni wamekuwa wakiishi katika mazingira duni kutokana na kushindwa kufaidi mgawanyo wa rasilimali za nchi

No comments:

Post a Comment