Akina mama ambao majina yao hayakuweza kufahamika mara moja wakiwa wamebeba miwa kwa ajiri ya kwenda kuiuza ili kuweza kujipatia kipato cha kujikimu kutokana na ugumu wa maisha unaowakabili katika jamii zao na taifa kiujumla,wananchi wengi wanaoishi pembezoni wamekuwa wakiishi katika mazingira duni kutokana na kushindwa kufaidi mgawanyo wa rasilimali za nchi
No comments:
Post a Comment