Pages - Menu

Thursday, September 29, 2011

 Viongozi wa ngazi mbalimbali wa TCCIA Ruvuma wakifuatilia hotuba zilizokuwa zikitolewa kwenye uzinduzi huo
 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Thomas Oley Sabaya akisikiliza hotuba iliyokuwa inatolewa na Meneja wa Programu ya Wakorea wa Kujitolea Hwang,Jin Yung(Jenne)katikati,wa kwanza kushoto ni Mtaalamu wa Masoko wa Kujitolea Jaehong Cho ambaye alikuwa mkalimani wa lugha ya Kikorea kwenda kiswahili
Afisa Biashara Mkoa wa Ruvuma Nehemia Jemes akipita mbele ya kikundi cha ngoma kilichotumbuiza wakati wa uzinduzi wa gari ya dhahabu

No comments:

Post a Comment