Pages - Menu

Monday, October 24, 2011

MTAJI WA MASKINI NI NGUVU ZAKE MWENYE NDIVYO INAVYOTAFSIRIKA PICHA HII

Vijana ambao hawakuweza kufahamika majina yao mara moja wakiwa wanasukuma mkokoteni jilani na Kanisa Katoliki Jimbo la Songea Mjini ikiwa ni kuelekea miaka 50 ya UHURU wa Nchi yetu kama walivyokutwa na mpiga picha wa mtandao huu wa http://www.stephanomango.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment