Pages - Menu

Monday, November 14, 2011

HAYA NDIYO YALIYOJIRI KATIKA UZINDUZI WA MRADI WA KISASA NA WA AINA YAKE WA UPIMAJI WA VIWANJA 18000 KATIKA KATA YA MSHANGANO

 Afisa Mtendaji wa kata ya Mshangano Stan Kibiki akisoma taarifa ya utekelezaji wa mradi wa upimaji wa viwanja 18000 wakati wa uzinduzi
 Diwani wa Kata ya Mshangano Faustine Mhagama akizungumza siku ya uzinduzi
 Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Ardhi Plan Gombo Samandito akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa mradi wa upimaji wa viwanja 18000 katika kata ya Mshangano
Sehemu ya mradi wa upimaji viwanja 18000 linavyoonekana katika eneo la Beroya kata ya Mshangano

No comments:

Post a Comment