Pages - Menu

Wednesday, November 2, 2011

KIONGOZI WA CHAMA AKIFUATILIA HABARI MBALIMBALI KWENYE KIJIWE CHA KUUZIA MAGAZETI SONGEA

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Songea Mjini Alfonce Siwale akiperuzi magazeti mbalimbali hivi karibuni mjini hapa wakati huu muhimu wa kuvuana magamba ndani ya chama hicho

No comments:

Post a Comment