Pages - Menu

Sunday, July 15, 2012

UZINDUZI WA WIMBO WA SHETANI AMESHINDWA YA KWAYA YA MTAKATIFU PAULO MTUME PAROKIA YA SONGEA MJINI WAFANA

 Mwenyekiti wa Kamati ya maandalizi ya uzinduzi wa ALBAMU ya SHETANI AMESHINDWA, Diwani wa Kata ya Litisha Jumann Nyingo akimkaribisha mgeni rasmi katika sherehe iliyofanyika leo mchana katika ukumbi wa Centenary
Kiongozi wa wanakaya akisoma risala kwa niaba ya wanakwaya ya mtakatifu Paulo

HABARI KAMILI INAFUATA

No comments:

Post a Comment