MKUTANO WA WADAU WAFUNGULIWA RASMI NA MKUU WA MKOA WA RUVUMA SAID MWAMBUNGU
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akifungua mkutano wa wadau wa habari mkoani Ruvuma,Kulia ni Mwenyekiti wa Ruvuma Press Club,Kushoto ni Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt Daniel Malekela
Mjumbe wa Kamati ya Maadili ya Chama cha Waandishi wa Habari Mkoani Ruvuma Judith Mwenda akitoa neno la shukrani kwa mgeni rasmi baada ya kufungua mkutano huo wa wadau
No comments:
Post a Comment