Pages - Menu

Saturday, October 15, 2011

WADAU WA HABARI WAKIWA KWENYE MATUKIO TOFAUTI TOFAUTI WAKATI WA MKUTANO WAO

Wadau wa Habari Mkoani Ruvuma wakiwa kwenye picha ya pamoja
Mmiliki wa Mtandao huu wa www.stephanomango.blogspot.com, wa kwanza mstari wa mbele akiwa kwenye picha ya pamoja ya Wadau wa habari mkoani Ruvuma na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu wa tatu(mwenye suti nyeusi)mara baada ya kuufungua mkutano wa wadau wa habari uliofanyika kwenye ukumbi wa CWT

Mwandishi wa Habari wa TBC mkoani Ruvuma Gerson Msigwa akitoa mada wakati wa mkutano wa wadau wa habari mkoani Ruvuma
Wadau waliohudhuria mkutano huo wakiendelea kusikiliza kwa umakini mkutano huo


No comments:

Post a Comment