About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Saturday, October 1, 2011

MADIWANI WA CCM WAITWA KWENYE KAMATI YA MAADILI YA CHAMA HICHO MKOA WA RUVUMA KUHOJIWA SAKATA LA UMEYA WA MANISPAA YA SONGEA

 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Ruvuma Corneus Msuya
Katibu wa Ccm Mkoa wa Ruvuma Emmanuel Mteming'ombe

Na Mwandishi Wetu,Songea

MADIWANI wote wa Chama cha Mapinduzi Halmashauri ya Manispaa ya Songea wameitwa kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Chama hicho Mkoa wa Ruvuma kuhusiana na sakata la uchaguzi wa umeya uliofanyika septemba 23 mwaka huu

Awali Kamati ya siasa ya Halmashauri kuu ya chama hicho wilaya ya Songea Mjini ilipendekeza madiwani watano wa Chma hicho wafukuzwe uwanachama kwa madai kuwa wamekidhalilisha chama katika uchaguzi huo kwa kumpigia mgombea wa nafasi ya Umeya Charles Mhagama kura za ndiyo 14 za hapana n kura 12

Baada ya chama hicho kupendekeza hivyo, kamati ya Siasa ya CCM mkoa wa Ruvuma ilikutana katika kikao chake cha ghafla na kujadili mapendekezo hayo ili kupata muafaka stahiki

Leo chama hicho kimewaita Madiwani wake wote na kuwahoji katika kikao cha maadili,mengi yatakayojili mtandao huu wa http://www.stephanomango.blogspot.com/ utaendelea kukujuza