About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Saturday, December 31, 2011

HERI YA MWAKA MPYA WA 2012 UWE WENYE MAFANIKIO NA FANAKA KWA WATU WOTE



The New Year 2012 is going to be really amazing and will be full of new plans and ideas I am sue because what ever we do in past we try not to do that again in future. We will keep good things to be carried and we will surely not going to repeat the bad deeds again.


 The year of 2012 is kept as the part of secret mission as there are certain pretendances that this year will be the end. Now no body knows as we live in present so we don’t think about future bad happenings much.


 The New Year is going to be the rocking year for every one out there. The New Year eve party 2012 will bring out smiles on many faces as every one love to party out with friends and families.


On this day all of the crowd keep on jumping on dance floor with lots of good music till it hit the clock 12:00.
When it strikes at 12 o’ clock every one wishes New Year to the people around and the real celebration or we can say welcoming of the New Year begins.


The New Year eve celebration not only have the cool and grooving music it also have tasty and delicious food and drinks which are served to the guests presented over their.


New Year is the time of celebration and planning new events. No matter what the previous year holds for you, every one want to move on with happiness on their faces. The day of New Year has marked as the beginning of calendar year.

 The day of New Year has been marked very firstly in the calendars of “Gregorian” calendars and then it is used world wide with the date that comes up as the 1 January. This day is the most energetic day which is celebrated with joy, happiness, prayers and parties all around the world.

Time to celebrate New Year around the World then you must see the lightnings and party organized in every country.
Every country in the world have its own way of celebrating this day some have disco parties and some have street parties. Every one enjoys being part of this day and celebrates it with lots of joy and happiness and how can we forget the delicious meal.

Happy New Year
New Year is the time of joy and happiness which brighten up the whole year in everyone’s life. On this day all the people forget their past grudges and move forward in life with the love ones.

New Year is the day which signifies the ending of previous year and welcoming the new day. It is the time foe every one happiness as people have new plans and ideas for this day.

 Forgetting all past deeds and entering into New Year era gives you hope and confidence to start up new things and accept the new life. Making a remark in every New Year is very much important in your life so make every year memorable and remarkable.

The day of happy New Year is really happy and the day which is used is incremented. There are many events which are celebrated on this day and today it is on such a large scale that it can be viewed world wide.

On the final day of year that is 31st December night every one plans a party and night outs to make the last day of eve memorable. There are many hotels and cruises which organize all night parties for the folks to enjoy.

Every new year have its own amazing powers but the New Year 2012 will the most exciting to watch on. The year of 2012 is not predicted yet because according to science this year wont exists more so may be people are scared rather than being happy.

There are few opposite to this situation as many people in year 2012 have special for themselves and they believe they will make it more memorable as the previous year and will start new plans and ventures for themselves.

Wishes are the most believable part in human nature. Wishing any one new year brings a smile on their faces as it is a blessing. The New Year wishes can be in any form that is it can be verbal or it can be written. There are many beautiful cards that are available in the market to wish or greet your loved ones.

MVUA YABOMOA NYUMBA 23 NA RADI YAJERUHI WANAFUNZI WAWILI

Na, Augustino Chindiye Tunduru

WANAFUNZI wawili wa Shule ya Msingi Majala wamelazwa katika hospitali ya Wilaya ya Tunduru baada ya kujeruhiwa vibaya na radi huku kukiwa na taarifa kuwa wakazi wa familia 23 kukosa sehemu za makazi baada ya nyumba zao kubomolewa na Mvua.

Akizungumzia tukio lilo Mwenyekiti wa Kamati ya Maafa ya Wilaya ya Tunduru, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru  Juma Madaha aliwataja Watoto hao kuwa ni Subira Mohamed  anayesoma darasa la Tatu na Stamili Mohamedi anayesoma Darasa la  sita wote wakiwa ni Watoto wa familia moja.

Kuhusu tukio la Nyumba 23 kubomolewa na mvua hizo Dc, Madaha alisema kuwa hivi sasa wananchi hao wanahifadhiwa katika nyumba za majirani zao wakati serikali ya Wilaya hiyo ikifanya tathimini ya athari zake.

Alisema kufuatia matukio hayo wananchi wanapaswa kujikinga kwa kuimarisha miundombinu ya nyumba zao pamoja na kuachana na tabia za kujificha katika miti wakati mvua zikiendelea kunyesha ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza.

Akifafanua taarifa ya tukio la radi Kaka wa majeruhi hao Wada Said alisema kuwa mkasa huo ulitokea wakati Watoto hao wakiwa wamejificha katika kibanda cha jiko la kupikia ambapo mvua kubwa iliyo ambatana na upepo ikinyesha kwa muda mrefu huku radi zikipigwa na kusababisha kuwajeruhi ndugu hao   

Akizungumzia hali za majeruhi hao mganga mfawidhi wa Hospitali ya Wilaya hiyo Dkt. George Chiwangu alisema kuwa hali za majeruhi hao bado siyo mzuri na wanahitaji kuwa chini ya maafisa tabibu kwa muda mrefu ili kuokoa maisha yao .

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Ruvuma Michael Kamuhanda amethibisha kuwepo kwa matukio hayo na kueleza kuwa majeruhi wa tukio la radi waliumizwa vibaya sehemu mbalimbali za miili yao kufutia tukio hilo .

Mwisho.