About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Monday, June 25, 2012

Liveee Muda Huu: Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi Nape Nauye awasili Jijini Mbeya na Kukutana na wanafunzi wa chuo cha TEKU, na kuwakabidhi kadi za Chama hicho

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nauye Muda mfupi baada ya kuwasili jijini Mbeya
Viongozi mbalimbali waliofika pamoja na wanafunzi wa Chuo cha TEKU wakiwa wanasililiza jambo kwa umakini
Wanafunzi wa TEKU wakiwa wanafurahi huku mkutano ukiendelea
Makada mbalimbali wa Chama Cha mapinduzi wakiwa katika mkutano huo

Shughuli zinaendelea Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nauye akiwa anacheza Muziki pamoja na wanafunzi wa TEKU muda huu