About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Monday, February 27, 2012

MAFUNZO YA WAWEZESHAJI WA UJASIRIAMALI KANDA YAANZA KATIKA UKUMBI WA THE BEACH COMBER HOTEL JIJINI DAR ES SALAAM YAANZA ASUBUHI HII

 Mkurugenzi Mtendaji wa Tanzania Commission For Science And Technology DKT, Dugushilu Mafunda akiwakaribisha washiriki kutoka Tanzania Bara na Tanzania Visiwani katika ukumbi wa mafunzo wa The Beach Comber Hotel
 Mwasisi wa Kongano la Ujasiriamali Tanzania Profesa Burton Mwamila akimkaribisha mgeni rasmi ili aweze kufungua mafunzo hayo ya siku nne ambayo yanaanza Februari 27 hadi machi 1 mwaka huu
                        Washiriki wa mafunzo hayo wakiendelea na darasa


Washiriki wa Mafunzo ya Cluster Facilitator wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa mafunzo hayo