About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Sunday, March 25, 2012

HIVI NDIVYO CCM ILIVYOFUNIKA JANA KWENYE MKUTANO WA UDIWANI KATA YA LIZABONI MANSPAA YA SONGEA


Mwenyekiti wa CCM Manispaa ya Songea Hemed Dizumba akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Polisi Kata ya Lizaboni wakati wa kampeni za kumnadi mgombea wa kiti cha udiwani kata ya Lizaboni kupitia chama hicho George Oddo


Mgombea Udiwani Kata ya Lizaboni Manispaa ya Songea kupitia tiketi ya Ccm George Oddo akiomba kura kwa wananchi jana wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya mtaa wa Polisi kwenye kata hiyo


Kama kawaida Ccm bila burudani haiendi, hawa ni baadhi ya kinadada wanenguaji kwenye kampeni hizo

Wananchi waliojitokeza jana kusikiliza mkutano wa Ccm uliofanyika kwenye viwanja vya mtaa wa Polisi Kata ya Lizaboni, katikati anaonekana mgombea akiomba kura kwa wananchi