About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Saturday, February 25, 2012

WAANDISHI WA HABARI MKOA WA RUVUMA KUENDELEA NA MAFUNZO YA UANDISHI WA HABARI ZA UCHUNGUZI

 Mwezeshaji wa Mafunzo ya uandishi wa habari za uchunguzi Fili Karashani
 Mwenyekiti wa Chama cha waandishi wa habari mkoa wa Ruvuma Andrew Kuchonjoma akifuatilia mafunzo hayo ya siku tano yaliyoanza Februari 22 na kumalizika februari 27, yaliyofadhiriwa na Muungano wa Vyama vya Waandishi wa Habari Mikoani(UTPC) na kuhudhuria na waandishi 22
 Kutoka kushoto ni Alpius Mchucha (Habari leo), Christian Sikapundwa (Mhariri Tujifunze) Cresencia Kapinga (Majira) Joyce Joliga ( Mwananchi) Judith Lugome (Tujifunze)
 Christian Sikapundwa (Mhariri Tujifunze) Cresencia Kapinga (Majira)
 Joyce Joliga ( Mwananchi) Judith Lugome (Tujifunze)
 Kutoka kushoto Kassian Nyandindi (Majira) Thomas Lipuka (Jambo Leo) Ngaiyona Nkondora (Radio Free/Star Tv, Ngerangera
 Ngaiyona Nkondora (Radio Free/Star Tv na Jofrey Nilai (Radio Maria)
 Thomas Lipuka akisisitiza jambo wakati wa mafunzo hayo
Kutoka kushoto ni Gerson Msigwa(TBC) Julius Konala (Tanzania Daima) Ngerangera Senior, Muhidin Amri (Majira) Jackline Claver (Radio Maria)