About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Monday, October 24, 2011

WAKAZI WA MKENDA WAHAHA KUSAKA MAJI SAFI NA SALAMA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA


Wakazi wa Kitongoji cha Mkenda Kijiji cha Nakawale Kata ya Muhukuru wakihaha kuchota maji kwenye bomba maarufu kwa Danida ikiwa ni miaka 50 ya UHURU na wakati mwingine ulazimika kusaka maji hayo zaidi ya kilometa 3,wananchi hao wamekuwa wakikabiliwa na uhaba wa huduma za afya,elimu,miundombinu na maji

No comments:

Post a Comment