About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Thursday, November 24, 2011

KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA RUVUMA CHENYE AGENDA 7 KIMEANZA ASUBUHI HII

                         Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Thabiti Mwambungu

 Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Juma Madaha kulia akiteta jambo kwenye kikao hicho na Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Savery Maketta


 Wanahabari wakiendelea kupata taarifa mbalimbali kwa ajili ya kuuhabarisha umma kuhusu yaliyojili kwenye kikao hicho
 Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Peramiho Vastus Mfikwa kushoto akifurahia jambo na Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Endrew Chatwanga
Wajumbe wa kikao hicho wakiendelea na majadiliano ya agenda zilizoainishwa kwenye kikao hicho

AGENDA ZA KIKAO HICHO

1,Kufungua kikao

2,Kusoma na kuthibitisha muhtasari wa kikao cha bodi ya barabara kilichofanyika tarehe 11 Mei 2011

3,Yatokanayo

4,Taarifa ya matengenezo ya barabara kuanzia Mei 2011 hadi Octoba 2011 toka Wakala wa Barabara

5,Taarifa ya matengenezo ya barabara kuanzia Mei 2011 hadi Octoba 2011 toka Halmashauri

6,Mengineyo

7,Kufunga Kikao

No comments:

Post a Comment