About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Monday, July 30, 2012

NAMI NILIVYOSHIRIKI MECHI YA YANGA NA AZAM

Mmiliki wa mtandao wa www.stephanomango.blogspot.com , Stephano Mango akiwa kwenye uwanja wa Taifa kabla ya mechi kati ya Yanga na Azam
Mgombea Uwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Ruvuma (FARU) Golden Sanga akiwa na Dickson kwenye uwanja wa Taifa wakishuhudia mechi kati ya Yanga na Azam
Mgombea Uwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Ruvuma (FARU) Golden Sanga akiwa na Dickson kwenye uwanja wa Taifa kushuhudia mechi kati ya Yanga na Azam
Mgombea Uwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Ruvuma (FARU) Golden Sanga akiwa na Dickson kwenye uwanja wa Taifa kushuhudia mechi kati ya Yanga na Azam
 Mgombea Uwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Ruvuma (FARU) Golden Sanga akifurahia ushindi wa Yanga kutwaa kombe la Kagame nje ya uwanja wa Taifa

 
Wachezaji wa Yanga wakishangilia huku wakiwa na Kombe la Kagame, baada ya kutawazwa tena kuwa wafalme wa michuano ya soka ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki leo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, kwa kuibwaga Azam FC mabao 2-0.
Kocha Mkuu wa Yanga, Tom akiungana na wachezaji kushangilia ubingwa huo

Mashabiki wakiungana na wachezaji wa Yanga kushangilia ubingwa huo
Mmiliki wa Blogu ya Michuzi, Muhidini Michuzi akiendelea kuchukua matukio
Ubao ulivyokuwa unaonekana baada fainali hiyo kumaliziki


Mshambuliaji wa yanga Said Bahanunzi akimtoka beki wa Azam FC Agrey Morris wakati wa mchezo wao wa Fainali ya Kagame Cup uliomalizika hivi punde kwenye uwanja wataifa jijini Dar es Salaam ambapo Yanga wameibuka na Ushindi wa mabao 2-0, huku Bahanuzi akipachika bao kwenye dakika za nyongeza za mwamuzi.
Mshambuliaji wa Yanga Hamis Kiiza Akimtoka Beki wa Azam Fc Jabir Azizi kabla ya kupachika bao la kwanza kwenye mchezo huo.
Mashabiki wa Yanga wakijimwayamwaya kwenye uwanja wa Taifa leo baada ya Said Bahanuzi kupachika bao la pili.
Wachezaji nao waliburudika kimtindo baada ya kupata ushindi.

No comments:

Post a Comment