About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, September 30, 2011

HAYA NDIYO MTANDAO HUU UMEWEZA KUKUSANYA SIKU YA UZINDUZI WA GARI YA DHAHABU ILIYOFANYIKA KWENYE VIWANJA VYA NSSF

 Mtendaji wa TCCIA mkoa wa Ruvuma Philemon Moyo akionyesha gari ya dhahabu iliyotolewa kwa wajasiriamali juzi kwa ushirikiano wa KOICA na TCCIA mkoa wa Ruvuma
 Wakorea wa Kujitolea wakiwa na nyuso za furaha wakati wa hafla ya uzinduzi wa gari ya dhahabu
 Wakorea wa Kujitolea wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa hafla ya uzinduzi wa gari ya dhahabu juzi
 Viongozi wa Korea,TCCIA na Kaimu Mkuuwa Mkoa wa Ruvuma Thomas Oley Sabaya wakizindua gari ya dhahabu kwa kupakia bidhaa za wajasiriamali katika gari hilo
 Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Thomas Oley Sabaya akimpa zawadi ya Mvinyo Meneja wa Programu ya Wakorea wa Kujitolea Hwang,Jin Yung(Jenne) kushoto ni Mwenyekiti wa TCCIA mkoa wa Ruvuma Mays Mkwembe
 Mwenyekiti wa TCCIA Mkoa wa Ruvuma Mays Mkwembe akizungumzia mfumo wa utafutaji wa Masoko na Uuzaji bidhaa kwa kutumia gari ya dhahabu
Meneja wa Programu ya Wakorea wa Kujitolea Hwang,Jin Yung akitoa hotuba wakati wa uzinduzi wa gari ya dhahabu
Mtaalamu wa Masoko wa Kujitolea Jaehong,Cho akitafsiri hotuba iliyotolewa na Meneja wa Programu ya Wakorea wa Kujitolea Hwang,Jin Yung wakati wa uzinduzi wa gari ya dhahabu

No comments:

Post a Comment