About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Tuesday, November 15, 2011

TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA TANZIA

Mtandao huu unaungana na familia ya Gerson Msigwa kwenye majonzi makubwa ya kuondokewa na ndugu yao mpendwa Pascalina Lukas Msigwa mwenye umri wa miezi 6 aliyefariki dunia jana mchana kwenye Hospital ya mkoa ya Songea na mazishi kufanyika leo kwenye makaburi ya Songambele,Bombambili,Bwana alitoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe,Mungu mwenyezi aiweke roho ya marehemu na marehemu wengine wote mahali pema peponi Amina

 Ndugu wa familia ya Marehemu Pascalina Lukas Msigwa wakiwasha michumaa na kuiweka juu ya kabuli lake ikiwa ni ishara ya mwanga wa milele na upendo wao kwake baada ya mazishi yake yaliyofanyika leo mchana katika makaburi ya Songambele Bombambili mjini Songea na kuhudhuriwa na wananchi,viongozi wa vyama mbalimbali na Serikali,Waandishi wa Habari na wafanyabiashara mbalimbali mjini Songea na mkoa jilani wa Njombe
 Bibi wa Marehemu Pascalina Lukas Msigwa(Mama Lucy) akiweka ua kwenye kaburi la marehemu ikiwa ni ishara ya upendo

Msemaji wa familia ya Marehemu Pascalina Lukas Msigwa,Gorden Sanga(Sanga One) akiwashukuru ndugu,jamaa na marafiki waliojaribu kunusuru uhai wa marehemu na wale wote waliojitokeza kumsindikiza kwenye makazi ya milele ndugu yao mpendwa

No comments:

Post a Comment