About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Tuesday, November 15, 2011

WARSHA YA TGNP YAWAKUTANISHA WADAU MBALIMBALI WA HARAKATI ZA MWANAMKE WA KIMAPINDUZI

Naibu Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mariam Dizumba akiteta jambo na Mwenyekiti wa Kamati za Huduma ya Jamii na Uchumi wa Manispaa hiyo Genfrida Haule,akina Mama hao waligombea kwenye kinyanganyiro cha nafasi ya UMEYA wa Halmashauri hiyo na kufanikiwa kupita kwenye vikao mbalimbali kabla ya kuchujwa kwenye kikao cha mwisho

No comments:

Post a Comment