About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Sunday, November 20, 2011

WATANI WA JADI NBC NA CRDB WATOKA UWANJANI BILA KUFUNGANA MECHI AMBAYO ILIKUWA KABAMBE

 Kikosi cha NBC kikiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumalizika kwa mechi,wa kwanza waliosimama kutoka kushoto ni mke wa Nahodha wa timu ya NBC Bi Sarah Mohamed
 Kikosi cha CRDB wakiwa kwenye picha ya pamoja na kikosi cha NBC mara baada ya kumalizika kwa mechi ya kirafiki iliyochezwa kwenye uwanja wa Majimaji na kutoka bila kufungana,waliosimama wa tatu toka kushoto ni Meneja wa CRDB Cosmas Mgimba, na wa kwanza waliosimama kutoka kulia ni Meneja wa NBC Henry Lussanga

 Nahodha wa timu ya NBC Emmanue Ntobi akiwa na mke wake Bi, Sarah Mohamed wakibadilishana mawazo kabla ya mechi kuanza

No comments:

Post a Comment