About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Saturday, November 19, 2011

NBC WATAMBA KUIFUNGA CRDB KATIKA MECHI YA KIRAFIKI INAYOCHEZWA LEO ASUBUHI KWENYE UWANJA WA MAJIMAJI

 Nahodha wa timu ya NBC Emmanuel Ntobi akitamba kuwashushia mvua ya magori watani wao wa jadi CRDB
 Kikosi cha timu ya NBC kinachopambana na CRDB leo asubuhi
 Nembo ya NBC ikiwa imewekwa kwenye uwanja wa Majimaji na kumaanisha kuwa ushindi ni lazima
 Kikosi cha timu ya CRDB kinachopambana na NBC leo kwenye uwanja wa Majimaji kikiwa kimetulia na kukwepa kutoa aina yoyote ya tambo na kusubiri dakika tisini uwanjani ndipo watasema jambo
Nahodha wa timu ya NBC Emmanuel Ntobi akitafakari jambo na mke wake Bi Sara kabla ya mechi kuanza katika uwanja wa Majimaji

No comments:

Post a Comment