About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Monday, February 13, 2012

WAANDISHI WA RUVUMA PRESS CLUB WAKUTANA KUJADILIANA MAREKEBISHO YA KATIBA YAO

Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Ruvuma Press Club Andrwe Kuchonjoma, Katibu wa Ruvuma Press Club (katikati) wakiendesha kikao cha mabadiliko ya katika katika ukumbi wa ushirika juzi
Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Ruvuma Press Club wakijadiliana jambo, kutoka kulia ni Alpius Mchucha, wa pili Crecencia Kapinga, wa tatu Mpenda Mvula na wanne Julius Konala
Afisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Revocatus Kassimba akiwa na Mweka Hazina wa Ruvuma Press Club wakati wa kikao cha mabadiliko ya Katiba

Waandishi wa Habari wa Ruvuma Press Club wakiendelea kuchangia mabadiliko ya katiba yao

Kutoka kulia ni Christian Sikapundwa, Gideon Mwakanosya na Thomas Lipuka

Kutoka kushoto ni Judith Lugome, Adam Nindi, Gerson Msigwa, Mark Mapunda, Catherine Nyoni

No comments:

Post a Comment