About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Sunday, June 3, 2012

NAPE NNAUYE APOKELEWA MKOANI RUVUMA KWA MBWEMBWE KUBWA


Msafara wa Katibu wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi Itikadi na Uenezi Nape Nnauye ukiingia kwenye Kata ya Mshangano Halmashauri ya Manispaa ya Songea
 
 Katibu wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiingia Songea kuanza ziara ya siku mbili mkoani Ruvuma akitokea Mkoani Iringa kabla hajaelekea Mkoani Njombe kesho baada ya kumaliza ziara yake mkoani Ruvuma
 Chipukizi wa Chama cha Mapinduzi wakimkaribisha Katibu wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi Itikadi na Uenezi Nape Nnauye Mkoani Ruvuma kwa kumvesha Skafu
 Katibu wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi Itikadi na Uenezi Nape Nnauye (kulia) akipita katikati ya gwaride maalumu la Chama cha Mapinduzi huku akisindikizwa na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Colneus Msuha
 Katibu wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimiana na wananchi waliojitokeza kumpokea kabla ajaanza ziara yake rasmi

Katibu wa Halmashauri kuu ya Chama cha Mapinduzi Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisaini kitabu cha wageni ikiwa ni ishara ya kuanza ziara yake rasmi kwenye mkoa wa Ruvuma, wa kwanza kutoka kushoto ni Katibu wa Itikadi na Uenezi Mkoa wa Ruvuma Genfrida Haule( katikati) ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Colneus Msuha

No comments:

Post a Comment