About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Sunday, June 3, 2012

NAPE AANZA KAZI KWA KUZINDUA VITEGA UCHUMI VYA CCM WILAYA YA SONGEA NA MATAWI YA CHAMA

 Katibu wa halmashauri kuu ya CCM Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akifungua jengo lenye vibanda zaidi ya 60 ambavyo vimegharimu zaidi ya milioni 202 katika Halmashauri ya Manspaa ya Songea
 Shina la wakeleketwa Kata ya Mshangano ambalo limefunguliwa leo na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye
 Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akipandisha bendera ikiwa ni ishara ya kutambua Tawi hilo
 Wananchi na wanachama wa cha Mapinduzi wakiwa wamezunguka wakishuhudia uzinduzi wa Tawi hilo
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wananchi na wanachama wa chama cha Mapinduzi ambao walishuhudia uzinduzi wa Tawi hilo

No comments:

Post a Comment