About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Thursday, June 21, 2012

UWEKEZAJI WA MABWAWA YA SAMAKI MJINI SONGEA UTAINUA UCHUMI WA SONGEA

 Mabwawa haya yanakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo fensi ya uhakika, ulinzi na endapo changamoto hizo zikathitiwa kwa ukamilifu ingekuwa ni kichocheo kikubwa cha upatikanaji wa samaki kwa wingi na ukuaji wa uchumi mjini Songea kwani mabwawa haya ni makubwa sana na yanauwezo wa kulisha idadi ya watu wengi mjini hapa








No comments:

Post a Comment