About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Saturday, September 8, 2012

SANGA ONE AWAOMBA WADAU KUMUOMBEA KATIKA KINYAN'GANYIRO


Mgombea nafasi ya Uwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi(CCM) Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Diwani Mstaafu wa Kata ya Bombambili Golden Sanga( Sanga One)Ni mdau mzuri wa mtandao huu na pia ni mdau muhimu wa masuala mbalimbali ya kimichezo na kisiasa hapa mkoani Ruvuma

Kwani amewahi kuwa Diwani na Mwenyekiti wa Chama cha Soka Halmashauri ya Manispaa ya Songea ( SUFA) kwa muda usiozidi miaka 5

anawaombeni wadau wote wa mtandao huu kumuombea katika kinyanganyiro hicho cha kuwania Uwenyekiti wa ccm Songea Mjini

Dua zenu ndio mafanikio yake, Tumuombee na kumshauri pia

Kila la heri Sanga One, kila la heri

No comments:

Post a Comment