About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, September 16, 2011

HEKAHEKA ZA WASHIRIKI WA TAMASHA LA 10 LA JINSIA KWA MWAKA 2011 ZINAENDELEA KWENYE VIWANJA VYA TGNP-MABIBO JIJINI DAR ES SALAAM

 Waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kutoka mikoani wakijadiliana wakati wa tamasha hilo linalomalizika Septemba 16
 Washiriki wakifuatilia mada zinazowasilishwa wa Wanaharakati mbalimbali wakati wa Tamasha la Jinsia Tanzania kwa mwaka 2011
 Hawa ni miongoni mwa washiriki wakifuatilia mijadala mbalimbali katika viwanja vya TGNP-Mabibo wakati wa warsha za pamoja
 Ndivyo Tamasha la Jinsia lilivyokuwa kwani washiriki mbalimbali wakiendelea kupata mbinu za kujikomboa kutoka kwenye makucha ya ubeberu na ubepari unaoendelea kujitokeza barani Afrika
Hii ni sehemu tu ya washiriki wa Tamasha walivyokuwa katika hali ya umakini wakati wa Tamasha hilo

No comments:

Post a Comment