About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, September 16, 2011

MKUU WA MKOA WA RUKWA ATUA KATIKA VIWANYA VYA TGNP-MABIBO,AKUTANA NA WANAHARAKATI NA WAANDISHI WA HABARI

 Mratibu wa Mtandao wa Jinsia Tanzania Lilian Liundi wa pili kutoka kushoto akizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya (MB) alipotembelea Tamasha la 10 la mwaka 2011 lililomalizika jana katika viwanja vya Mabibo

 Mwenyekiti wa kamati ya Maadili na Mafunzo wa MCT Juma Nyumayo na Dada Lilian Liundi wakifuatilia kwa umakini mkubwa mikakati ya maendeleo iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanyaalipokuwa anazungumza na wafanyakazi wa TGNP na Waandishi wa Habari katika ofisi za TGNP
 Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akizungumza na waandishi wa Habari na Wafanyakazi wa mtandao wa Jinsia Tanzania(TGNP)
Huyu ndiye Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akisikiliza maoni mbalimbali ya maendeleo Mkoani Rukwa kutoka kwa Waandishi wa Habari

No comments:

Post a Comment