About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Tuesday, September 13, 2011

KAZI IMEANZA SASA BAADA YA KUTUA NANGA KATIKA VIWANJA VYA MTANDAO WA JINSIA TANZANIA ILI KUWEZA KUWALETEA HABARI MBALIMBALI ZINAZOENDELEA KUJILI KATIKA TAMASHA LA JINSIA 2011 LINALOENDELEA KUFANYIKA KATIKA VIWANJA VYA TGNP-MABIBO JIJINI DAR ES SALAAM

 Mmiliki wa mtandao huu wa http://www.stephanomango.blogspot.com,ndugu/ Stephano Mango akiwa amefika katika ofisi za TGNP kwa lengo la kuwahabarisha wasomaji wa mtandao huu kinachoendelea kwenye tamasha la jinsia 2011 ambapo wanaharakati zaidi ya 2500 wanatarajia kushiriki
 Moja ya picha za kiuhanaharakati ikiwa imepamba moja ya kuta kwenye jengo la mtandao wa jinsia Tanzania,picha hiyo inawakilisha akina mama wajawazito wanavyopata tabu ya huduma bora wanapokuwa wajawazito,wakati wa kujifungua na baada ya kujifungua

 Ukifika TGNP-Mabibo jijini Dar Es Salaam wakati huu wa tamasha utaona bango kubwa linalokupa maelekezo ya awali ya uwepo wa Tamasha hilo
Bango hili ndilo lililonipa ishara ya kuiona Ofisi ya TGNP ili niweze kukutana na wanaharakati wenzangu kwa lengo la kujiandaa kushiriki Tamasha la Jinsia la 2011 na kuweza kupata yanayoendelea kujili katika viwanja hivyo kwa ajili ya wasomaji

No comments:

Post a Comment