About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, October 28, 2011

SHAMLA SHAMLA YA MAPOKEZI YA WILAYA YA NAMTUMBO ILIVYOKUWA KUWA WAKATI WA ZIARA YA MBUNGE MHANDISI STELLA MANYANYA NA MKUU WA MKOA WA RUKWA

 Mhandisi Stella Manyanya(Mb) Mkuu wa Mkoa wa Rukwa akicheza ngoma baada ya kupokelewa Kata ya Kitanda Wilayani Namtumbo
 Uwt Wilaya ya Namtumbo wakitoa Zawadi kwa Mgeni rasmi Mhandisi Stella Manyanya(Mb)Mkuu wa Mkoa wa Rukwa alipomaliza kuhutubia wananchi wa kata ya Kitanda
 Mhandisi Stella Manyanya (Mb) Mkuu wa Mkoa wa Rukwa akitoa msaada wa shilingi laki mbili na themaanini kwa vikundi vya ujasiliamali kata ya Kitanda
Diwani wa Kata ya Kitanda Vitus Ngoma akipokea jezi kwa ajili ya timu ya Kata kutoka kwa Mhandisi Stella Manyanya(Mb) Mkuu wa Mkoa wa Rukwa

No comments:

Post a Comment