About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, December 30, 2011

JIMBO LA PERAMIHO NAO WAPELEKEWA MDAHALO WA ELIMU YA URAIA KUHUSU KATIKA YA TANZANIA YA MWAKA 1977

 Katibu wa Sonngo Mathew Ngarimanayo akiwakaribisha washiriki wa mdahalo katika ukumbi wa Trade Kanisa Katoliki la Peramiho
 Viongozi wa Kamati ya Utendaji ya Sonngo kutoka kushoto ni Komba,Francis Mhimila,Amon Mtega mwandishi wa gazeti la Mtanzania, Sophia Limbuya,Magreth Ponera wakiendelea kusikiliza mdahalo huo
 Viongozi wa Chama cha Mapinduzi na Viongozi wa Serikali wakiendelea kusikiliza hoja mbalimbali zilizokuwa zinatolewa na waendesha mdahalo
 Kutoka kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Peramiho Jenista Mhagama,Mwenyekiti wa Sonngo Siwajibu Gama,Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Andrwe Mbawala,Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Songea Beatrice Msomisi wakifuatilia kwa umakini mdahalo huo

 Washiriki wa Jimbo la Peramiho wakifuatilia mdahalo huo
 Mwandishi wa TBC Catherine Nyoni,Mwandishi wa Jeshi la Polisi, Mwandishi wa Chanel Ten Emmanuel Msigwa wakiendelea kunasa matukio yanayojili kwenye mdahalo huo
Mwandishi wa Habari wa Radio Maria Tanzania Jofrey Nilai akirusha mdahalo huo LIVE uliofanyika kwenye ukumbi wa Trade Peramiho

No comments:

Post a Comment