About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Sunday, December 11, 2011

WAKATI WA UCHAGUZI MKUU WA URAIS,WABUNGE NA MADIWANI MWAKA 2010,MGOMBEA MMOJA WA CHAMA FULANI ALIZUNGUKA NCHI NZIMA NA KUWAAHIDI WATANZANIA KUWANUNULIA BAJAJ ZITAKAZOSAMBAZWA NCHI NZIMA VIJIJINI KWA AJIRI YA KUWABEBA AKINA MAMA WAJAWAZITO ILI KUPUNGUZA VIFO VINATOVYOTOKANA NA UZAZI,JE BAJAJ HIZI NDIZO ZILIZOAHIDIWA AU TUSUBIRI ZINGINE?



No comments:

Post a Comment