About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Saturday, January 21, 2012

SONNGO WAWAKUTANISHA WANANCHI WA MTYANGIMBOLE KWENYE MDAHALO WA WAZI KUHUSU KUIMARISHA MAHUSIANO KATI YA WABUNGE NA WANANCHI WAO

 Kutoka kulia ni Afisa Maendeleo ya Jamii,Halmashauri ya Wilaya ya Songea Bashiru Mgwassa,Diwani wa Kata ya Mtyangimbole Meckezedeck Mwella, Mwenyekiti wa Sonngo Siwajibu Gama,Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Mwl,Mwingira,Makamu Mwenyekiti wa Sonngo Ifigenia Mbawala,wa kwanza kutoka kushoni ni Katibu wa Sonngo Mathew Ngarimanayo
 Washiriki wa mdahalo huo wakisikiliza kwa makini mada zilizokuwa zinatolewa na wataalamu wa masuala ya uwajibikaji wa wa viongozi kwa wananchi wake

 Waandishi wa Habari wakiendelea kunasa matukio mbalimbali kwenye mdahalo huo,kutoka kushoto ni Mpiga picha Mpenda Mvula,Fundi Mitambo Boniface Bundala,Mwandishi wa Star Tv na Radio Free Africa Adam Nindi
 Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya Sonngo Jongo Haule
 Mwendesha ratiba katika Mdahalo huo MC Juma Nyumayo akitoa muongozo kwa washiriki
 Dj Ras akirekebisha mitambo ili washiriki wa mdahalo waendelee na libeneke husika
 Viongozi wa Asasi ya Sonno wakiwa kwenye dawati la usajiri wa washiriki wa mdahalo huo

Mzee Said Ramadhan akichangia hoja katika mdahalo huo

No comments:

Post a Comment