About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Wednesday, February 15, 2012

KAPTENI KOMBA AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO VYA SHILINGI MILIONI 3 MASHINDANO KOMBE LA MBUNGE

Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi Kapteni John Komba akimkabidhi Chogo Wachogo sare 3 za waamuzi wa Mashindano ya Kapteni Cup ambayo yanashirikisha timu 10 za Kata ya Lituhi

Kiongozi wa Timu ya Polisi Fc akikabidhiwa jezi kwa ajiri ya mashindano hayo

Kiongozi wa Timu ya Shujaa Fc akikabidhiwa jezi

                                     Kiongozi wa Timu ya Ngingama akikabidhiwa jezi

Viongozi wa Timu mbalimbali shiriki katika mashindano hayo wakikabidhiwa jezi za mashindano na Mbunge wa Jimbo la Mbinga Magharibi Kapteni John Komba


No comments:

Post a Comment