About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Monday, March 12, 2012

MBUNGE WA VITIMAALU MKOA WA RUVUMA, MNEC NA MKUU WA MKOA WA RUKWA MHANDISI STELLA MANYANYA AHUDHURIA KIKAO CHA BARAZA LA UWT MKOA WA RUVUMA NA KUTOA SHILINGI 150000

Mbunge wa Vitimaalum mkoa wa Ruvuma,Mnec na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya akiwasalimia wajumbe wa Baraza la Uwt Mkoa wa Ruvuma katika kikao kilichofanyika juzi katika ukumbi wa CCM mkoa wa Ruvuma, wa kwanza kutoka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu, wapili Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Ruvuma Corneus Msuya, watatu ni Mwenyekiti wa Uwt Mkoa wa Ruvuma Kuruthum Mhagama
 Wajumbe wa Baraza la UWT Mkoa wa Ruvuma wakimpa zawadi na kumpongeza Mbunge wa Vitimaalum mkoa wa Ruvuma,Mnec na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya kwa kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Katavi
 Mbunge wa Vitimaalum mkoa wa Ruvuma,Mnec na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya akiwashukuru Wajumbe wa Baraza la UWT mkoa wa Ruvuma kwa zawadi na pongezi walizozitoa kwake wakati wa kikao cha Baraza la Uwt mkoa wa Ruvuma kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa CCM mkoa wa Ruvuma juzi
 Wajumbe wa kikao cha Baraza la UWT Mkoa wa Ruvuma wakicheza wimbo wa chama na Mbunge wa Vitimaalum mkoa wa Ruvuma,Mnec na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya ikiwa ni ishara ya kufurahi pamoja katika kuanza mwaka wa uchaguzi ndani ya chama

 Wajumbe wa kikao cha Baraza la UWT Mkoa wa Ruvuma wakisikiliza hoja mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa na Katibu wa UWT mkoa wa Ruvuma Mariam Yusuph hayupi pichani kwenye kikao hicho kilichofanyika juzi
 Wakwanza toka kushoni Katibu wa CCM Wilaya ya Songea Lidya Gunda, wapili Katibu wa CCM Wilaya ya Songea Mjini Alfonce Siwale, watatu ni Katibu wa UVCCM Mkoa wa Ruvuma Mwajuma Rashid, wanne Katibu wa Jumuiya ya Wazazi mkoa wa Ruvuma Rajab Honde wakifuatilia kikao hicho
 Kamati ya utendaji wa UWT mkoa wa Ruvuma ambao ndio Sekretarieti ya kikao hicho wakiendelea na majukumu yao wakati kikao hicho kikiendelea
 Wajumbe wa kikao hicho wakiendelea na kikao hicho
 Wajumbe wa kikao cha Baraza la UWT Mkoa wa Ruvuma wakimkabidhi zawadi na kumpa pongezi Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu kwa kuteuliwa na Rais Jakaya Kikwete kushika Mkoa wa Ruvuma
 Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akiwashukuru wajumbe wa kikao cha Baraza la UWT Mkoa wa Ruvuma kwa kumpatia zawadi na kumkaribisha Ruvuma, wa kwanza kulia ni Mbunge wa Vitimaalum mkoa wa Ruvuma,Mnec na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya, wa kwanza kutoka kushoto ni Katibu wa UWT Mkoa wa Ruvuma Mariam Yusuph, wa pili ni Mwenyekiti wa UWT Mkoa wa Ruvuma Kuruthum Mhagama wapili Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Corneus Msuya
 Mbunge wa Vitimaalum mkoa wa Ruvuma,Mnec na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya akiwa na Katibu wa CCM mkoa wa Ruvuma Emmanuel Mteming'ombe wakati Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akiwashukuru wajumbe wa kikao hicho kwa kumpatia zawadi
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akimkabidhi Katibu wa UWT Mkoa wa Ruvuma Mariam Yusuph jumla ya shilingi 250000 ikiwa shilingi 150000 kutoka kwa Mbunge wa Vitimaalum mkoa wa Ruvuma,Mnec na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhandisi Stella Manyanya na shilingi 100000 kutoka kwake

No comments:

Post a Comment