About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Wednesday, May 23, 2012

BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA WILAYA YA MBINGA LAANZA KIKAO CHAKE AMBAPO HOJA NA TAARIFA MBALIMBALI ZA KAMATI ZINAENDELEA KUTOLEWA

 Madiwani wakiwa wamesimama ikiwa ni ishara ya heshima wakati Mwenyekiti wa Halmashauri Oddo Mwisho, Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri Priska Haule na Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Shaib Mnunduma wakiingia kwenye kikao hicho
 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Oddo Mwisho (katikati) akifungua kikao, kulia ni Mbunge wa Jimbo la Mbinga Mashariki Gaudence Kayombo na kushoto ni Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Shaib Nnunduma wakiingia kwenye kikao hicho
 Waandishi wa kikao cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri hiyo wakiendelea kufuatilia hoja mbalimbali
 Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya fedha, mipango na uongozi Prisca Haule akiwasilisha taarifa ya kamati

 Madiwani wakiendelea kufuatilia hoja mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa katika kikao hicho kutoka kwa wajumbe
Wenyeviti wa kamati za kudumu za Madiwani wa Halmashauri hiyo wakiendelea kufuatilia taarifa zao kwa umakini

No comments:

Post a Comment