About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, September 23, 2011

KURA ZAENDELEA KUHESABIWA NA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI

 Wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi Jimbo la Songea Mjini wakiendelea kuhesabu kura zitakazo mkubali au kumkataa mgombea Umeya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Charles Mhagama
Wa kwanza kutoka kushoto ni Afisa Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Manispaa ya Songea Naftan Saiyoloi akiwa na Mweka hazina wa Halmashauri hiyo Kessy Mpakata

No comments:

Post a Comment