About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, September 23, 2011

UCHAGUZI WA UMEYA MANISPAA YA SONGEA NI VITUKO VILIVYOSHEHENI AIBU MBELE YA MBUNGE DKT NCHIMBI

 Diwani wa Kata ya Matogoro Charles Mhagama ambaye ni mgombea Umeya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea akifuatilia kwa umakini mkubwa kanuni za uchaguzi wa nafasi hiyo kutoka kwa msimamizi wa uchaguzi huo
 Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Dkt Emmanuel Nchimbi akiwasalimia madiwani kwenye mkutano huo wa uchaguzi wa nafasi wazi ya Umeya
 Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Songea Mjini Nachoa Zakaria ambaye pia ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea akionyesha wajumbe sanduku la kupigia kura katika uchaguzi huo uliofanyika leo
                                    
 Kutoka kulia ni Msimamizi wa uchaguzi Nachoa Zakaria akihakikisha majina ya wajumbe watakaopiga kura,kushoto ni Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mariam Dizumba
 Hapa ni dua kwanza,ndivyo alivyoanza Diwani wa Kata ya Misufini Salum Mfamaji,akiwa diwani wa kwanza kupiga kura katika uchaguzi huo

No comments:

Post a Comment