About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, September 23, 2011

BAADA YA UBAKAJI WA DEMOKRASIA YA UCHAGUZI WA UMEYA MAPAMBANO YANAENDELEA MIONGONI MWA MADIWANI

 Joseph Fuime ambaye ni Diwani wa Kata ya Mjini akiongoza mapambano ya kurudisha demokrasia mikononi mwa wapiga kura
 Sanduku la kura lalejeshwa meza kuu baada ya kurejeshwa toka mikononi mwa watu wasiopenda demokrasia
 Madiwani waendelea kutaharuki tukio la kihistoria la uchaguzi wa kuziba nafasi iliyoachwa wazi na marehemu Ally Said Manya

Wananchi wakiwatathimini kwa umakini mkubwa wawakilishi wao walipokuwa wanachapana makonde katika ukumbi wa Saccos wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

No comments:

Post a Comment