About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, September 23, 2011

VULUGU,TIMBWILI LAANZA BAADA YA NAIBU MSTAHIKI MEYA MARIAM DIZUMBA KUTANGAZA MATOKEO YA UCHAGUZI WA UMEYA

 Naibu Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mariam Dizumba akitangaza matokeo ya uchaguzi huo
 Kushoto ni Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Dkt John Nchimbi akiwatuliza Madiwani ambao walikuwa wakimzomea Mstahiki Meya aliyevaa Joho nyekundu Charles Mhagama na kuambiwa kuwa amechakachua matokeo na hivyo hawamtambui
 Viongozi hao wakiteta jambo baada ya kunusa harufu ya kushtukiwa mchezo wao walioufanya
 Madiwani wakianza kurushiana maneno yaliyokosa staha na kupelekea vurugu kuanza ndani ya kikao cha baraza la Madiwani
Hapa sasa ni ubabe wa kuzuia sanduku la kura lisitolewe ndani ya ukumbi wa uchaguzi ili zihesabiwe tena na madiwani waweze kujiridhisha kuhusu matokeo ya kura walizozipiga

No comments:

Post a Comment