About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Saturday, September 17, 2011

Tamasha la Jinsia 2011 TGNP Dar laweka mikakati kibao! ikiwemo kuhitaji mahakama ya wananchi,kuvipa nguvu vyombo vya habari nchini na vile vya ukanda wa afrika kuripoti habari za Jinsia na wanawake wa kimapinduzi

 Mwenyekiti wa Kamati ya Mafunzo na Maadili ya Baraza la Habari Nchini(MCT) JUMA NYUMAYO akionyesha bango baada ya kuwasilisha mrejesho wa waandishi wa habari namna ya Wadau wa Habari wanavyonyanyaswa pindi wanapofuatilia habari mbalimbali wakati wa kufunga Tamasha la Jinsia la 10 lililofanyika katika viwanja vya TGNP -Mabibo kuanzia Septemba 13-16

 Viongozi wa Mtandao wa Jinsia Tanzania wakiwa wanafuatilia mrejesho kutoka kwa wawasilishaji mbalimbali wakati wa ufungaji wa Tamasha la 10 la Jinsia mwaka 2011
 Wanahabari wa vyombo mbalimbali wakiendelea na majukumu yao kabla ya kumalizika kwa tamasha la 10 la Jinsia mwaka 2011
Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili na Mafunzo ya MCT akisisitiza jambo na Mwanaharakati Mzee Abdalah Ndege wakati wa kufunga Tamasha la 10 la Jinsia Tanzania

No comments:

Post a Comment