About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, January 27, 2012

MDAHALO JIMBO LA SONGEA MJINI WAENDELEA CHUO CHA UALIMU SONGEA

 Kushoto ni Mwandishi wa Radio Maria Songea,Julius Konala,Mwandishi wa Gazeti la Majira Crecensia Kapinga
 Mtaalamu wa ICT wa Asasi ya Sonngo Boniface Bundala akifuatilia Mdahalo wa wananchi wa Jimbo la Songea unaofanyika kwenye ukumbi wa Chuo cha Ualimu Songea
 Washiriki wakiendelea kufuatilia Mdahalo huo
Wa kwanza kutoka kushoto Dereva wa Sonngo Bucard Mkuwa (Maarufu kwa jina la SHILINGI) wa pili ni Mtoa huduma wa watoto HBC wa Asasi ya Roa na Mwanaharakati na Mtaalamu wa Zana za Kilimo Wilaya ya Songea Venas Komba,wa tatu ni Mkurugenzi wa Asasi Rumed David Kakoyo
Wa kwanza kutoka kulia ni Katibu Muhtasi (Msaidizi wa Ofisi) wa Sonngo Sophia Limbuya akizungumza jambo na Mtaalum wa ICT wa Asasi ya Sonngo Boniface Bundala

No comments:

Post a Comment