About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, January 27, 2012

MDAHALO JIMBO LA SONGEA MJINI WAMALIZIKA MCHANA HUU KATIKA UKUMBI WA CHUO CHA UALIMU CHA MATOGORO SONGEA

 Washiriki wa Mdahalo huo wakiendelea kusikiliza hoja mbalimbali
 Dereva wa Sonngo Shilingi kushoto akiwa na Mjumbe wa Roa Venas Komba
 Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini akijibu hoja mbalimbali zilizoelekezwa kwenye ofisi ya Mbunge
 Mratibu wa MVIWATA mkoa wa Ruvuma Bigambo Ladslaus akieleza jambo wakati wa mdahalo
 Mtoa Mada Oddo Hekela akiwasilisha mada kwenye mdahalo huo
 Katibu wa Sonngo Mathew Ngarimanayo akifafanua jambo wakati wa Mdahalo huo
Mtoa Mada Bashiru Mgwasa akiwasilisha mada ya umuhimu wa viongozi na wajibu wa wananchi

No comments:

Post a Comment