About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Friday, January 27, 2012

WANANCHI JIMBO LA SONGEA MJINI WAANZA MDAHALO WA WAZI WENYE LENGO LA KUPATA TASWIRA YA UWAJIBIKAJI WA VIONGOZI KWA WANANCHI WAO

Mwenyekiti wa Mtandao wa SONNGO Siwajibu Gama akifungua Mdahalo,wa kwanza kutoka kulia Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Andrew Chatwanga,wa pili Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Nachoa Zakaria,wa kwanza kutoka kushoto Katibu wa Sonngo Mathew Ngarimanayo,wa pili ni Meya wa Manispaa ya Songea Charles Mhagama

Kutoka kushoto Afisa Kazi Ruvuma Oddo Hekela,Diwani wa Kata ya Matarawe James Makane,Diwani wa Viti maalum Genfrida Haule

Wakuu wa Idara wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea wakifuatilia Mdahalo

No comments:

Post a Comment