About


Karibu ujiunge na chuo cha kisasa cha Easy Tech.Computer kwa mafanikio yako,Walimu waliobobea katika fani hiyo wanapatikana chuoni hapo

elimak

elimak

Pages - Menu

Wednesday, March 14, 2012

KIKAO CHA BODI YA BARABARA MKOA WA RUKWA CHAMALIZIKA NA KUAINISHA MAAZIMIO MBALIMBALI

Mwenyekiti wa kikao hicho ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akitoa hotuba ya ufunguzi. 
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Dkt. Rajab Rutengwe kulia akiteta na Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Joyce Mgana wakati kikao hicho kikiwa kinaendelea
Wajumbe wa kikao hicho wakiendelea kusikiliza kwa umakini hoja mbalimbali zilizokuwa zinawasilishwa kwenye kikao hicho
Meneja wa TANROADS Mkoa wa Rukwa Florian Kabaka akiwasilisha taarifa ya Idara yake kwenye kikao hicho 
Mkuu wa Wilaya ya Mpanda Dkt. Rajab Rutengwe akizungumza kwenye kikao hicho, kulia kwake ni Mkuu wa Wilaya ya Nkasi Joyce Mgana.

KWA PICHA ZAIDI

No comments:

Post a Comment